Ingia / Jisajili

Ee Bwana Unifadhili

Mtunzi: Dr. Basil B. Tumaini
> Mfahamu Zaidi Dr. Basil B. Tumaini
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. Basil B. Tumaini

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Basil Tumaini

Umepakuliwa mara 3,921 | Umetazamwa mara 8,015

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Ee Bwana Unifadhili

Mtunzi: Dr. Basil Tumaini (0767 847258)

Kiitikio:

Ee Bwana, unifadhili, kwa maana ninakulilia wewe mchana kutwa.

Kwa maana wewe, Bwana, u mwema, Umekuwa tayari kusamehe, na mwingi wa fadhili kwa watu wote wakuitao.

Mashairi: Zab. 86:3,7,8,13.

1. Wewe, Bwana, unifadhili, maana nakulilia wewe mchana kutwa.

2. Siku ya mateso nitakuita, kwa maana utaniitikia.

3. Katikati ya miungu hakuna (hakuna) kama wewe, wewe Bwana.

4. Maana fadhili zako (fadhili zako) kwangu ni nyingi (nyingi) sana.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa