Ingia / Jisajili

Ndipo Niliposema

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 2,983 | Umetazamwa mara 7,120

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio: Ndipo niliposema, tazama nimekuja, tazama nimekuja, kuyafanya mapenzi mapenzi yako x 2.

Mashairi:

1. Nalimngoja Bwana kwa saburi, akaniinamia akakisikia kilio changu, akatia wimbo mpya kinywani mwangu, ndiyo sifa yake Mungu wetu.

2. Dhabihu na matoleo hukupendezwa nazo, masikio yangu umeyazibua, kafara na sadaka za dhambi hukuzitaka, ndipo niliposema tazama nimekuja.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa