Ingia / Jisajili

Dondokeni Enyi Mbingu

Mtunzi: Br. Stan Mkombo, Ofmcap
> Tazama Nyimbo nyingine za Br. Stan Mkombo, Ofmcap

Makundi Nyimbo: Majilio | Zaburi | Mwanzo

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 1,673 | Umetazamwa mara 4,063

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

DONDOKENI ENYI MBINGU [BR. Stanslaus Mkombo, OFMcap]

Chorus

//Dondokeni enyi mbingu toka juu (nyesheni), na mawingu yammwage Mwenye Haki (wa Bwana)//

[I: Nchi na ifunuke kumtoa Mwokozi

II: Nchi na ifunuke, ifunuke nayo

III&IV: Nchi ifunuke, nchi (na) ifunuke, (I-IV) Nchi na ifunuke kumtoa Mwokozi] x2.

Mashairi:

1. Nimemngoja Bwana roho yangu inangoja, na neno lake nimelitumainia.

2. Nafsi yangu inamngoja Bwana kuliko walinzi waingojavyo asubuhi. Naam, walinzi waingojavyo asubuhi.

3. Ee Israeli umtarajie Bwana, maana kwake kuna wokovu na ukombozi mwingi.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa