Ingia / Jisajili

Changamkeni Nyote No. 2

Mtunzi: S. D. Masanja
> Tazama Nyimbo nyingine za S. D. Masanja

Makundi Nyimbo: Noeli

Umepakiwa na: Ludovick Michael

Umepakuliwa mara 727 | Umetazamwa mara 2,297

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

CHANGAMKENI NYOTE NO. 2

Basi (changamkeni mkaviinue vichwa vyenu kwa kuwa  ukombozi wetu umekaribua) x2

(Jiangalieni mioyo yenu isijeikaelemewa na ulafi na ulevi, na masumbufu ya maisha maisha haya) x2

1.     Basi kesheni kila wakati wakati, mkiomba ili mpate kuokoka, katika hayo hayo yote.

2.     Mungu mwaminifu katika ahadi zake zote, tusiwe na mashaka Mungu ataleta mkombozi, atakakayeleta amani.

3.     Natuutupilie mbali, kweli uovu wetu, tukajitwalie silaha zile za mwanga, tumpige nazo shetani.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa