Ingia / Jisajili

Bwana Yesu Anatualika

Mtunzi: Deogratias R. Kidaha
> Tazama Nyimbo nyingine za Deogratias R. Kidaha

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 2,235 | Umetazamwa mara 6,452

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana Yesu anatualika kwenye karamu x2

Ni karamu ya amani na upatanisho karamu ya ujirani (mwema)

Ni karamu ya upendo na matumaini karamu yenye furaha (ndugu)

Bwana Yesu anatualike tuijongee

1.       Meza yake Bwana iko tayari waumini twendeni tukale na kunywa tupate uzima wa milele

2.       Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima, uzima milele aleluya

3.       Hana ubaguzi wenye nacho na wasio nacho uwe masikini uwe tajiri wote sawa

4.       Hima twende wote tukashiriki mezani kwa Bwana tupate uzima, uzima milele na milele


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa