Ingia / Jisajili

Bwana Umekuwa Makao Yetu

Mtunzi: Alexander Ndibalema
> Mfahamu Zaidi Alexander Ndibalema

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 1,151 | Umetazamwa mara 3,241

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Wewe Bwana umekuwa makao yetu kizazi hata na kizazi, wewe Bwana umekuwa makao yetu kizazi hata na kizazi x 2

Mashairi:

1. Wamrudisha mtu kutoka mavumbini usemapo rudini mavumbini enyi wanadamu maana miaka elfu machoni pako ni kama siku ya jana ikishakupita na kama kesha la usiku.

2. Utushibishe Bwana kwa fadhili zako nasi tutashangilia na kufurahi na uzuri wake Bwana Mungu wetu uwe juu yetu na kazi ya mikono yetu uithibitishe.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa