Ingia / Jisajili

Bwana Nikufanye Nini.

Mtunzi: John Mwalai
> Tazama Nyimbo nyingine za John Mwalai

Makundi Nyimbo: Kristu Mfalme

Umepakiwa na: Nyamasyo Maneeno

Umepakuliwa mara 865 | Umetazamwa mara 2,157

Download Nota
Maneno ya wimbo

Bwana Ee Bwana nikufanye nini mimi pasipokua nikushukuru x2

Mema yote umenikalia na mambo umetenda ya ajabu sina mengine mimi pasipokua nikushukuru x2

1.       Bwana nikufanye nini mimi cha kukushukuru umenitendea mambo mambo mengi ya ajabu

2.       Uliniumba ajabu mwili wa viungo vingi ukanijaza akili niyajue mema na mabaya

3.       Napumua hewa safi tena uhai wa bure afya njema niko nayo kwani wanikinga na mabaya

4.       Siku zote wanilinda waniepusha hatari wakati wa hofu bwana ndiwe unanipa nguvu.

5.       Maishani mwangu mimi nikufanye nini bwana jambo la muhimu kwangu sina budi kuja kushukuru


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa