Ingia / Jisajili

Bwana Ni Nani Atakayekaa Hemani Mwako?

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 1,748 | Umetazamwa mara 5,303

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana ni nani atakayekaa hemani mwako?, Ni mtu aendaye kwa ukamilifu na kutenda haki.

Mashairi:

1. Ni yeye asemaye kweli kwa moyo wake wote, asiyesingizia kwa ulimi wake

2. Ambaye hakumtendea mwenziwe mambo mabaya wala hakumsengenya jirani yake.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa