Ingia / Jisajili

Bwana Ni Nani Atakayekaa

Mtunzi: Haule Alfonce Innocent
> Tazama Nyimbo nyingine za Haule Alfonce Innocent

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Alfonce Haule

Umepakuliwa mara 2,575 | Umetazamwa mara 4,799

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Katikati Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio:  Bwana ni nani, atakaye kaa katika hema yako, ni nani atakayekaa katika hema yako. X 2.

1 (Sauti ya I & II). Bwana ni nani, atakayefanya maskani, maskani yake katika kilima chako, kilima chako kitakatifu?

   (Sauti ya III & IV). Ni yeye aendae kwa ukamilifu, na kutenda haki asemaye kweli, asiyesingizia kwa ulimi wake.

2. (Sauti ya I & II). Yeye ambaye, hakumtenda mwenziwe mabaya, wala hakumsengenya jirani yake, machoni pake mtu asiyefaa hudharauliwa!

    (Sauti ya III & IV). Bali huwaheshimu wamchao Bwana, hakutoa fedha yake apate, fedha yake apate kula riba.

3. (Sauti ya I & II). Hakutwaa rushwa, amwangimize asiye na hatia,

    (Sauti ya III & IV). Mtu atendaye mambo haya (Wote): Hataondoshwa milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa