Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu

Mtunzi: Thomas G. Mwakimata
> Tazama Nyimbo nyingine za Thomas G. Mwakimata

Makundi Nyimbo: Miito | Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 3,598 | Umetazamwa mara 8,930

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana ndiye mchungaji wangu sitakungukiwa na kitu sitapungukiwa na kitu x 2, katika malisho ya majani mabichi hunilaza kando ya maji ya utulivu huniongoza x 2:

Mashairi:

1. Hunihuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.

2. Naam nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti sitaogopa mabaya.

3. Kwa maana wewe upo nami gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

4. Hakika wema na fadhili zako zitanifuata siku zote za maisha yangu.


Maoni - Toa Maoni

Oscar chiwalala Nov 21, 2017
Imekaa Njema Sana Hongera sanaaaaaaaaaaa Mwl

Toa Maoni yako hapa