Mtunzi: Benny Weisiko John
> Mfahamu Zaidi Benny Weisiko John
> Tazama Nyimbo nyingine za Benny Weisiko John
Makundi Nyimbo: Zaburi
Umepakiwa na: Benny Weisiko
Umepakuliwa mara 453 | Umetazamwa mara 2,084
Download Nota Download MidiKIITIKIO
Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu x2
Katika malisho ya majani, mabichi hunilaza, kando ya maji ya utulivu, Bwana huniongoza. x2
SHAIRI
1. Hunihuisha nafsi yangu,huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
2.Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu,umenipaka mafuta kichwani kikombe changu kinafurika.
3.Hakika wema na fadhili, zitanifuata kweli, nami nitatakaa nyumbani mwa Bwana milele.