Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu

Mtunzi: Benny Weisiko John
> Mfahamu Zaidi Benny Weisiko John
> Tazama Nyimbo nyingine za Benny Weisiko John

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Benny Weisiko

Umepakuliwa mara 453 | Umetazamwa mara 2,084

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

          KIITIKIO

Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu x2

Katika malisho ya majani, mabichi hunilaza, kando ya maji ya utulivu, Bwana huniongoza. x2

             SHAIRI

1. Hunihuisha nafsi yangu,huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.

2.Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu,umenipaka mafuta kichwani kikombe changu kinafurika.

3.Hakika wema na fadhili, zitanifuata kweli, nami nitatakaa nyumbani mwa Bwana milele.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa