Ingia / Jisajili

Bwana Ndiye Anayeitegemeza Nafsi Yangu

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 2,785 | Umetazamwa mara 6,963

Wimbo huu unaweza kutumika:
- Mwanzo Dominika ya 16 Mwaka C

Download Nota
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu, Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu (x2)

Mashairi:

1. Ee Mungu, e Mungu,  kwa jina lako uniokoe na kwa uweza uweza wako unifanyie hukumu.

2. Ee Mungu, e Mungu uyasikie maombi yangu uyasikilize uyasikilize maneno ya kinywa changu.

3. Tazama Mungu ndiye anayenisaidia, Bwana ndiye anayeitegemeza nafsi yangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa