Ingia / Jisajili

Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu

Mtunzi: G. A. Chavallah
> Tazama Nyimbo nyingine za G. A. Chavallah

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Yudathadei Chitopela

Umepakuliwa mara 21,441 | Umetazamwa mara 39,134

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana kama wewe Ungehesabu maovu yetu, (nani angesimama, nani angesimama, nani angesimama mbele yako) x 2

1.      Lakini kwako kuna msamaha, ili wewe uogopwe, nimemngoja Bwana, Roho yangu, na neno lake nimelitumaini.

2.      Nafsi yangu inamngoja Bwana, kuliko walinzi, walinzi waingojavyo, asubuhi, naam walinzi wangojavyo asubuhi.

3.      Ee Bwana toka vilindini, nimekulilia, Bwana sauti yangu, usikie, masikio yako yasikie dua zangu.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa