Ingia / Jisajili

Bwana Atuita

Mtunzi: Alfred Ogombo
> Mfahamu Zaidi Alfred Ogombo
> Tazama Nyimbo nyingine za Alfred Ogombo

Makundi Nyimbo: Misa

Umepakiwa na: Alfred Ogombo

Umepakuliwa mara 690 | Umetazamwa mara 2,981

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana atuita tusikie neno

Ni neno la uzima neno lake

1.Neno lake Bwana ni neno la uzima,

   tulisikie tupate wokovu

2.Pamoja tupeleke neno la Bwana,

   pembeni zote za ulimwengu

3.Neno lake Bwana latuhakikishia,

   uzima ujao wa milele

4.Kweli mafundisho yake Bwana wetu,

   kwa kweli yamejaa hekima nyingi

5.Tuwe tayari kulipokea neno,

   nasi sote tuwe wana wa Mungu


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa