Ingia / Jisajili

Bwana Alitutendea Mambo Makuu

Mtunzi: C. Mzena
> Tazama Nyimbo nyingine za C. Mzena

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: Thomas George Mwakimata

Umepakuliwa mara 984 | Umetazamwa mara 4,274

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana alitutendea mambo makuu, Bwana alitutendea mambo makuu, tulikuwa tukifurahi x 2.

Mashairi:

1. Bwana alivyowarejeza mateka wa sayuni, tulikuwa kama vile waotao ndoto, ( Ndipo hapo hakika ikawa furaha ) x 2.

2. Ndipo waliposema kuwa katika mataifa, Bwana amewatendea mambo ya ajabu, ( Sote tulifurahi tukichekelea ) x 2.

3. Bwana uwarejeze watu wetu waliofungwa, wapandao kwa machozi watavuna kwa furaha, ( watabeba mavuno wakishangilia ) x.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa