Ingia / Jisajili

Bwana Alikuwa Tegemeo Langu

Mtunzi: David B. Wasonga
> Mfahamu Zaidi David B. Wasonga
> Tazama Nyimbo nyingine za David B. Wasonga

Makundi Nyimbo: Zaburi

Umepakiwa na: David Wasonga

Umepakuliwa mara 3,813 | Umetazamwa mara 9,466

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bwana alikuwa, alikuwa tegemeo langu tegemeo langu,

Akanitoa akanipeleka panapo nafasi akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami.

Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu  maana nimezishika njia zake wala sikumwasi Mungu, nimeshika maagizo yake sikuacha amri zake, mbele za Bwana sikuwa na hatia, nikalinda wema wangu.


Maoni - Toa Maoni

Dr.Joseph Mitepa Dec 22, 2016
Nakupongeza kwa tungo zako nzuri,ukweli Mimi ni mpiga kinanda napenda sana kucheza nyimbo zako,congraturation

Toa Maoni yako hapa