Ingia / Jisajili

Bahati Iliyoje

Mtunzi: Stanslaus Mujwahuki
> Tazama Nyimbo nyingine za Stanslaus Mujwahuki

Makundi Nyimbo: Ekaristi / Komunio

Umepakiwa na: Lawrence Nyansago

Umepakuliwa mara 7,136 | Umetazamwa mara 12,861

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Bahati iliyoje kujongea meza ya Bwana

(Ninapo ninapokula mwili wa Bwana ninapo ninapo kunywa damu ya Bwana ninapata furaha kubwa amani rohoni mwangu) X2

1.       Niulapo mwili wake Bwana, niunywapo damu yake Bwana, napata furaha na amani rohoni mwangu

2.       Tule mwili wake Bwana Yesu tunywe damu yake Bwana Yesu nyoyo zetu zitajawa neema na mwanga wa milele


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa