Ingia / Jisajili

Baba Mbona Umeniacha

Mtunzi: Augustine Rutakolezibwa
> Mfahamu Zaidi Augustine Rutakolezibwa
> Tazama Nyimbo nyingine za Augustine Rutakolezibwa

Makundi Nyimbo: Juma Kuu

Umepakiwa na: AUGUSTINE RUTAKOLZIBWA

Umepakuliwa mara 1,022 | Umetazamwa mara 3,583

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

KIITIKIO:

Baba yangu (mbona ) Baba yangu (Baba) mbona umeniacha,(Baba) mbona umeniacha x 2

Mashairi

1.mbona umbali nawokovu wangu, mbona umeniacha; na maneno ya kuugua kwangu, mbona umeniacha.

2. Nalia mchana lakini hujibu, mbona umeniacha; usiku lakini sipati raha ,mbona umeniacha.

3. Baba zetu walikutumaini. mbona umeniacha; Na wewe Mungu ukawokoa, mbona umeniacha.

4. Waniona hinicheka san, mbona umeniacha; hunifyonya wakitikisa vichwa, mbona umeniacha

5. Usiwe mbali nami taabuni. mbona mniacha; kwa maana hakuna msadizi, mbona umeniaha.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa