Ingia / Jisajili

Ataniita Nami Nitamwitikia

Mtunzi: Dr. David S. Kacholi
> Mfahamu Zaidi Dr. David S. Kacholi
> Tazama Nyimbo nyingine za Dr. David S. Kacholi

Makundi Nyimbo: Kwaresma | Zaburi

Umepakiwa na: David Kacholi

Umepakuliwa mara 6,374 | Umetazamwa mara 13,328

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

Kiitikio:

Ataniita nami nitamwitikia, nitamwokoa nakumtukuza, kwa siku nyingi nitamshibisha x 2.

Mashairi:

1. Aketiye mahali mahali pa siri, pake aliye aliye juu, atakaa katika uvuli wake mwenyezi.

2. Nalisema Bwana ndiye kimbilio langu, na ngome na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.

3. Maana yeye atakuokoa, na mtego mtego wa mwindaji, na katika tauini iharibuyo.

4. Kwa manyoya yake atakufunika, chini ya mbawa zake kimbilio, uaminifu wake ni ngao na kigao.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa