Ingia / Jisajili

Angaza Giza La Moyo Wangu

Mtunzi: Br. Stan Mkombo, Ofmcap
> Tazama Nyimbo nyingine za Br. Stan Mkombo, Ofmcap

Makundi Nyimbo: Mafundisho / Tafakari | Miito | Utatu Mtakatifu

Umepakiwa na: Stanslaus Mkombo

Umepakuliwa mara 1,281 | Umetazamwa mara 3,521

Download Nota Download Midi
Maneno ya wimbo

ANGAZA GIZA LA MOYO WANGU                  [Br. Stanslaus Mkombo, OFMCap]   

     [Sala ya Mt. Fransisko wa Asizi]

Ee Mungu Mkuu (I-III: na)/ (IV: Mungu Mungu) Mtukufu, angaza giza la moyo (IV:moyo) wangu, na unijalie Bwana Imani sahihi, Matumaini thabiti Mapendo kamili, busara na ufahamu ili nilitimize angizo lako takatifu na la kweli.

Mashairi

1: Ukae ndani yangu, na mimi ndani yako, na Roho Mtakatifu aniongoze.

2. Atukuzwe Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, kama mwanzo, sasa, siku zote na milele. Amina.


Maoni - Toa Maoni

Hakuna maoni kwenye wimbo huu

Toa Maoni yako hapa