Ingia / Jisajili

Wolfgang Amadeus Mozart

Mfahamu Wolfgang Amadeus Mozart, mtunzi wa nyimbo za Kanisa Katoliki.

Maelezo zaidi

Idadi ya nyimbo SMN: 10 > Zitazame

Soma Historia na maelezo yake hapa

Historia / Maelezo

 January 27, 1756 huko Salzburg alizaliwa, Austria, Wazazi wake ni Leopold na Maria Pertl Mozart. alikuwa mwanamuziki wakuweza kupiga vyombo vingi na alianza kupiga vyombo hivyo akiwa na umri wa miaka 6,

Enzi za uhai wake alifanikiwa kutunga nyimbo nyingi sana zaidi ya elfu zenye maudhui mbalimbali baadhi ya nyimbo alitunga ni pamoja na  sonatas, symphonies, masses (misa), chamber music, concertos and operas, Alikuwa na uwezo wa kusikiliza wimbo na kuuandika kama ulivyo.

Mozart alifariki mnamo  December 5, 1791 akiwa na umri wa miaka 35.